Song parody of
Tunamwamini Yesu (Live)
by One To Another
Here's where you get creative! Use our cool song parody creator to make a totally new musical idea and lyrics for the Tunamwamini Yesu (Live) song by One To Another.
Simply click on any word to get rhyming words suggestion to use instead of the original ones. You may also remove or alter entire lines if needed — when you're done save your work and share it with our community — have fun!
Tunamwamini Yesu
Mwana wa Mungu Pekee
Aliyetufilia dhambi zetu msalabani
Ndiye mtetezi wetu
Mbele ya Mungu pekee
Mbali na gadhabu ya kiama tumeondolewa
Tumeondolewa, Tumeondolewa
Mbali na gadhabu ya kiama tumeondolewa
Yesu ametuelekeza
Toka penye giza kuu uu
Katuonyesha mwangaza wake humu duniani
Sasa tumekomboleewa
Tumefanywa kuwa huru
Nyuma haturudi kamwe si tumeokolewa
Tumeokolewa, Tumeokolewa
Nyuma haturudi kamwe si tumeokolewa
Roho wake atuongoza
Hatua zake ni za nuru
Kweli zake twazipokea na tunazithamini
Kwa neema atuzingira
Hadi ile siku kuu uu
Japo mwovu atuandama si tumehifadhiwa
Tumehifadhiwa, Tumehifadhiwa
Japo mwovu atuandama si tumehifadhiwa
Kwa imani twamngojea
Atakapo toka juu
Tutamwona mawinguni kweli tutafurahi
Twende naye kwa kupendeza
Ufalme wake ulio mkuu
Aliyetuandalia milele tutaishi naye
Tutaishi naye, Tutaishi naye
Aliyetuandalia milele tutaishi naye
Tumeondolewa, Tumeondolewa
Mbali na gadhabu ya kiama tumeondolewa
Tumeokolewa, Tumeokolewa
Nyuma haturudi kamwe si tumeokolewa
Tumehifadhiwa, Tumehifadhiwa
Japo mwovu atuandama si tumehifadhiwa
Tutaishi naye, Tutaishi naye
Aliyetuandalia milele tutaishi naye
Tumeondolewa, Tumeondolewa
Mbali na gadhabu ya kiama tumeondolewa
Tumeokolewa, Tumeokolewa
Nyuma haturudi kamwe si tumeokolewa
Tumehifadhiwa, Tumehifadhiwa
Japo mwovu atuandama si tumehifadhiwa
Tutaishi naye, Tutaishi naye
Aliyetuandalia milele tutaishi naye
Tunamwamini Yesu
Mwana wa Mungu Pekee
Aliyetufilia dhambi zetu msalabani
Ndiye mtetezi wetu
Mbele ya Mungu pekee
Mbali na gadhabu ya kiama tumeondolewa
Tumeondolewa, Tumeondolewa
Mbali na gadhabu ya kiama tumeondolewa
Yesu ametuelekeza
Toka penye giza kuu uu
Katuonyesha mwangaza wake humu duniani
Sasa tumekomboleewa
Tumefanywa kuwa huru
Nyuma haturudi kamwe si tumeokolewa
Tumeokolewa, Tumeokolewa
Nyuma haturudi kamwe si tumeokolewa
Roho wake atuongoza
Hatua zake ni za nuru
Kweli zake twazipokea na tunazithamini
Kwa neema atuzingira
Hadi ile siku kuu uu
Japo mwovu atuandama si tumehifadhiwa
Tumehifadhiwa, Tumehifadhiwa
Japo mwovu atuandama si tumehifadhiwa
Kwa imani twamngojea
Atakapo toka juu
Tutamwona mawinguni kweli tutafurahi
Twende naye kwa kupendeza
Ufalme wake ulio mkuu
Aliyetuandalia milele tutaishi naye
Tutaishi naye, Tutaishi naye
Aliyetuandalia milele tutaishi naye
Tumeondolewa, Tumeondolewa
Mbali na gadhabu ya kiama tumeondolewa
Tumeokolewa, Tumeokolewa
Nyuma haturudi kamwe si tumeokolewa
Tumehifadhiwa, Tumehifadhiwa
Japo mwovu atuandama si tumehifadhiwa
Tutaishi naye, Tutaishi naye
Aliyetuandalia milele tutaishi naye
Tumeondolewa, Tumeondolewa
Mbali na gadhabu ya kiama tumeondolewa
Tumeokolewa, Tumeokolewa
Nyuma haturudi kamwe si tumeokolewa
Tumehifadhiwa, Tumehifadhiwa
Japo mwovu atuandama si tumehifadhiwa
Tutaishi naye, Tutaishi naye
Aliyetuandalia milele tutaishi naye