Hatuna Kesi
Rama Tz
The easy, fast & fun way to learn how to sing: 30DaySinger.com
Ahaa! First of all sina bahati ila poa na isije kwangu safii Kwani siku zote hua naishije Zingua now upigwe uaibishwe we staki Nikupe moyo manake mimi nife we ubaki (eh!) Sikosoi haki ila inatesa acheni Nasikia aliyegundua pesa pia alikufa na madenii Sasa si ujinga wa wazi kutumia ngazi chini ya uvungu Wakati hizi surprise kabla hata ya Harmonize na mzungu Ok shoutout to my all friends who became a family Hatufanyi wa mziki trend na hii ndio kauli mbiu kamili Na ukifahamu hii haushangai hawa pimbi Wakinitukana ni kawaida kama hizi ndoa za bibi na vijana Nishakua sasa na maana ya kupata ni kutumia Tena hali ya sasa hata kwa buku unapata beer Na supu ukitaka pia we mchuchu uliedata skia Mi naishi ki rasta japo ni virasta vya kuzugia Kila sehemu hamuoni kume stuck Ugumu wa game ndo umefanya hadi kamillion amekua kalaki So Waambeni hawa watoto wakuwe waache kucheza Nyimbo zao ambazo ukisema ununue mia tisa inapendeza Oh green light unataka au hautaki Mkiwaka tunawapa safii Tupo guda guda tena mbele ya wakati (sio kesi) Tushapuuza stress hatutaki (Hatuna) Hatuna hatuna hatuna hatuna Ooo yeahh yeah yeah yeah Hatuna hatuna hatuna hatuna Hatuna kesi na yoyotee Hakuna superstar Bongo lete ustar wanakunyea Utapigwa dongo watakukataa kwa shombo watakupondea Watoto wa uongo kwenye Makala za umbea Na huo mjadala utakua mchongo kwa watu wa masuala ya kuongea Endelea ku-push push Siokazi kuuza kush bab Hamuwezi hu-gush gush Uswazi kuna wazushi mob Town hadi bush bush Mduwanzi haunigusi babu Wahuni tuna tusu-tusua Hatuifadhi chuki babu Natoka chocho mtu mbaya naingia kati Dawaya moto ni moto cha ajabu fire hutamia maji Na ropo ropo waso haya hujitia ushababi Nyie watoto tuu mnastahiki juma nyosso au billnandy Mabingwa wa majungu na yasio ingiza noti mifukoni Mbu hapewi sifa kwa kupigwa kofi mgongoni Hip hop misingi kuifuata nikutafuta njaa Nishafeli mara nyingi sijaiacha au kukata tama Nipo kitaa na wahuni hii (mafanikio) Suti wanainukisha bangi Ni kama chupi hakikisha hawaijui rangi Usawa ukikaba tunalia kwa baba jesca Tunakaza party na inajaza hakuna anaetumia pesa Oh green light unataka au hautaki Mkiwaka tunawapa safii Tupo guda guda tena mbele ya wakati (sio kesi) Tushapuuza stress hatutaki (hatuna) Hatuna hatuna hatuna hatuna Ooo yeahh, yeah yeah yeah Hatuna hatuna hatuna hatuna Hatuna kesi na yoyotee Hatuna hatuna hatuna hatuna, oyeaaah... Ilo ndo tatizo sugu so waabieni wana waweke traffic Nyumba za wageni maana kule watu wanagongana Hatuna kesi na yoyotee
The easy, fast & fun way to learn how to sing: 30DaySinger.com
Citation
Use the citation below to add these lyrics to your bibliography:
Style:MLAChicagoAPA
"Hatuna Kesi Lyrics." Lyrics.com. STANDS4 LLC, 2024. Web. 7 May 2024. <https://www.lyrics.com/lyric-lf/5021491/Rama+Tz/Hatuna+Kesi>.
Discuss the Hatuna Kesi Lyrics with the community:
Report Comment
We're doing our best to make sure our content is useful, accurate and safe.
If by any chance you spot an inappropriate comment while navigating through our website please use this form to let us know, and we'll take care of it shortly.
Attachment
You need to be logged in to favorite.
Log In