Hatuna Kesi

Rama Tz

0 fans

Rama Tz


3:17
#1

 The easy, fast & fun way to learn how to sing: 30DaySinger.com

Ahaa!
First of all sina bahati ila poa na isije kwangu safii
Kwani siku zote hua naishije
Zingua now upigwe uaibishwe we staki
Nikupe moyo manake mimi nife we ubaki (eh!)
Sikosoi haki ila inatesa acheni
Nasikia aliyegundua pesa pia alikufa na madenii
Sasa si ujinga wa wazi kutumia ngazi chini ya uvungu
Wakati hizi surprise kabla hata ya Harmonize na mzungu
Ok shoutout to my all friends who became a family
Hatufanyi wa mziki trend na hii ndio kauli mbiu kamili
Na ukifahamu hii haushangai hawa pimbi
Wakinitukana ni kawaida kama hizi ndoa za bibi na vijana
Nishakua sasa na maana ya kupata ni kutumia
Tena hali ya sasa hata kwa buku unapata beer
Na supu ukitaka pia we mchuchu uliedata skia
Mi naishi ki rasta japo ni virasta vya kuzugia
 
Kila sehemu hamuoni kume stuck
Ugumu wa game ndo umefanya hadi kamillion amekua kalaki
So Waambeni hawa watoto wakuwe waache kucheza
Nyimbo zao ambazo ukisema ununue mia tisa inapendeza
 
Oh green light unataka au hautaki
Mkiwaka tunawapa safii
Tupo guda guda tena mbele ya wakati (sio kesi)
Tushapuuza stress hatutaki (Hatuna)
Hatuna hatuna hatuna hatuna
Ooo yeahh yeah yeah yeah
Hatuna hatuna hatuna hatuna
Hatuna kesi na yoyotee
 
Hakuna superstar Bongo lete ustar wanakunyea
Utapigwa dongo watakukataa kwa shombo watakupondea
Watoto wa uongo kwenye Makala za umbea
Na huo mjadala utakua mchongo kwa watu wa masuala ya kuongea
 
Endelea ku-push push
Siokazi kuuza kush bab
Hamuwezi hu-gush gush
Uswazi kuna wazushi mob
Town hadi bush bush
Mduwanzi haunigusi babu
Wahuni tuna tusu-tusua
Hatuifadhi chuki babu
 
Natoka chocho mtu mbaya naingia kati
Dawaya moto ni moto cha ajabu fire hutamia maji
Na ropo ropo waso haya hujitia ushababi
Nyie watoto tuu mnastahiki juma nyosso au billnandy
Mabingwa wa majungu na yasio ingiza noti mifukoni
Mbu hapewi sifa kwa kupigwa kofi mgongoni
Hip hop misingi kuifuata nikutafuta njaa
Nishafeli mara nyingi sijaiacha au kukata tama
Nipo kitaa na wahuni hii (mafanikio)
Suti wanainukisha bangi
Ni kama chupi hakikisha hawaijui rangi
Usawa ukikaba tunalia kwa baba jesca
Tunakaza party na inajaza hakuna anaetumia pesa
 
Oh green light unataka au hautaki
Mkiwaka tunawapa safii
Tupo guda guda tena mbele ya wakati (sio kesi)
Tushapuuza stress hatutaki (hatuna)
Hatuna hatuna hatuna hatuna
Ooo yeahh, yeah yeah yeah
Hatuna hatuna hatuna hatuna
Hatuna kesi na yoyotee
 
Hatuna hatuna hatuna hatuna, oyeaaah...
Ilo ndo tatizo sugu so waabieni wana waweke traffic
Nyumba za wageni maana kule watu wanagongana
Hatuna kesi na yoyotee

 The easy, fast & fun way to learn how to sing: 30DaySinger.com

Written by: Rama tz

Lyrics © DistroKid

Lyrics Licensed & Provided by LyricFind

Discuss the Hatuna Kesi Lyrics with the community:

0 Comments

    Citation

    Use the citation below to add these lyrics to your bibliography:

    Style:MLAChicagoAPA

    "Hatuna Kesi Lyrics." Lyrics.com. STANDS4 LLC, 2024. Web. 7 May 2024. <https://www.lyrics.com/lyric-lf/5021491/Rama+Tz/Hatuna+Kesi>.

    Missing lyrics by Rama Tz?

    Know any other songs by Rama Tz? Don't keep it to yourself!

    Browse Lyrics.com

    Quiz

    Are you a music master?

    »
    "Ground Control to Major Tom -- Take your ______ pills and put your helmet on."
    A acid
    B daily
    C protein
    D vitamin

    Free, no signup required:

    Add to Chrome

    Get instant explanation for any lyrics that hits you anywhere on the web!

    Free, no signup required:

    Add to Firefox

    Get instant explanation for any acronym or abbreviation that hits you anywhere on the web!

    Rama Tz tracks

    On Radio Right Now

    Loading...

    Powered by OnRad.io


    Think you know music? Test your MusicIQ here!