Mfariji Mwema
Mwalimu Okello
Become A Better Singer In Only 30 Days, With Easy Video Lessons!
Mateso ya mwenye haki kweli ni mengi lakini Emanueli Mungu pamoja nasi hutuokoa kwa hayo yote Vitu vyote hutendeka kwa wema wa wale wampendao Mungu Hautabaki katika hali uliyo nayo mwite Yesu atakupumzisha Shida zako zinapita hazitakawia ni wakati wa Mungu kukupanguza machozi Na kuweka kicheko mdomoni mwako unaamini hayo basi tuimbe pamoja Amen Mfariji mwema mfariji mwema hakuna mfariji mwema kama we Mfariji mwema mfariji mwema hakuna mfariji mwema kama we Maisha ni mlima na mabonde chenye mwanzo kina mwisho Fadhili zako hazina mwisho ewe ndiwe mfariji wangu Ngome imara nakukimbilia nipumzishwe shida zangu nazileta kwako ewe msaada wangu imbaaaa Mfariji mwema mfariji mwema hakuna mfariji mwema kama we hakuna mfariji Mfariji mwema mfariji mwema hakuna mfariji ooooh mwema kama we Umekosa karo ewe mwanafunzi mitihani umefeli Inua macho mtazame Yesu atakusaidia Watoto wako wamepigwa na magonjwa ndoa inatikisika Mifuko yako imetoboka mkimbilie mfariji wa kweli mfariji Mfariji mwema wewe mfariji mwema Yesu mfariji hakuna Mfariji mwema kama we imbaaa mfariji mwema mfariji mwema Hakuna mfariji oooh mwema kama we Umempoteza mpendwa marafiki na wazazi hawakutaki Umesingiziwa usherati jipe moyo biashara yako haijafaulu Mwambie Yesu anaweza magonjwa yote anayaponya Yesu yeye niiiii Mfariji mwema eeeh mfariji mwema hakuna hakuna mfariji mwema kama we Imbaaa mfariji mwema mfariji mwema hakuna hakuna mfariji mwema kama we Machozi na kilio visikufanye ulie ni wakati wa Mungu kukupanguza machozi Na kuweka kicheko mdomoni mwako halelluyah imba mfariji Mfariji mwema eeh yeah mfariji mwema hakuna mfariji mwema kama we Hakuna mfariji oooh baba mwema kama we mwemaaaa ah hakuna kama we Hakuna hakuna mfariji mwema kama weee eeeh hakuna kama weeeh ooooh Alpha na Omega hakuna kama wewe Baba hakuna kama we Kama wewe kama wewe baba hakuna kama we ooooh hakuna kama wewe Mfalme wangu hakuna kama we wewe unanifariji katika shida zangu zote Hakuna kama we uliniokoa unanipenda baba hakuna kama we aaaah halelluyah Hakuna kama weee
Watch: New Singing Lesson Videos Can Make Anyone A Great Singer
Citation
Use the citation below to add these lyrics to your bibliography:
Style:MLAChicagoAPA
"Mfariji Mwema Lyrics." Lyrics.com. STANDS4 LLC, 2024. Web. 4 May 2024. <https://www.lyrics.com/lyric-lf/8090472/Mwalimu+Okello/Mfariji+Mwema>.
Discuss the Mfariji Mwema Lyrics with the community:
Report Comment
We're doing our best to make sure our content is useful, accurate and safe.
If by any chance you spot an inappropriate comment while navigating through our website please use this form to let us know, and we'll take care of it shortly.
Attachment
You need to be logged in to favorite.
Log In