Song parody of
Dear God
by YP
Here's where you get creative! Use our cool song parody creator to make a totally new musical idea and lyrics for the Dear God song by YP.
Simply click on any word to get rhyming words suggestion to use instead of the original ones. You may also remove or alter entire lines if needed — when you're done save your work and share it with our community — have fun!
Nimezarauliwa
Nikanyanyaswa
Mwisho apo nikatupwa mimi
Ndipo apo ukaniokota mimi
Mimi mwenye roho mbaya
Ya kila aina Ndipo apo umeniokoa
Ukanileta katika uzuri wako
Kila nacokifanya naamini roho yako
Inaniongoza pale pote napokwenda
Wengi wanakula time
Istoshe wana eat nyama choma
Wakati mimi niko kwenye kona
Siamini yangu maco
Kanisani wanajifanya kondoo
Japo wa-wanafica makuca
Hii kweli nomaa
Wengi tunakwisha
Apa na pale tunabaguwana
Katika haya maisha
Chanzo sisi kucukiana
Kwanini tusiwe na umoja
Kwakuwa Mungu ni umoja
Tunapo pungukiwa
Unatubariki Baba mwenye heri na riziki
Baba mwenye heri yeah
Heri na riziki
They try to put me down, but I still arise
They try to put me down
But I still arise
Baba wewe mwenye sifa
Baba wewe wa taifa
Nimekuwa mzaifu
Sijui vipi nikusifu
Baba aliye hai
Mweye nguvu
Ningekuwa wapi kabisa
Cini ya hii dunia singeweza
Baba mwenye njia
Uliye pokeya mweu
Mwenye ucafu
Ukanifanya mkamilifu
Popote pale nakutegemeya
sina sehemu nyengine ya kuegamia
Nani mwenye roho kama yako
Popote pale naona love yako
Wewe ndiye wakuabudiwa
Wewe ndiye wakuabudiwa
Nimezarauliwa
Nikanyanyaswa
Mwisho apo nikatupwa mimi
Ndipo apo ukaniokota mimi
Mimi mwenye roho mbaya
Ya kila aina Ndipo apo umeniokoa
Ukanileta katika uzuri wako
Kila nacokifanya naamini roho yako
Inaniongoza pale pote napokwenda
Wengi wanakula time
Istoshe wana eat nyama choma
Wakati mimi niko kwenye kona
Siamini yangu maco
Kanisani wanajifanya kondoo
Japo wa-wanafica makuca
Hii kweli nomaa
Wengi tunakwisha
Apa na pale tunabaguwana
Katika haya maisha
Chanzo sisi kucukiana
Kwanini tusiwe na umoja
Kwakuwa Mungu ni umoja
Tunapo pungukiwa
Unatubariki Baba mwenye heri na riziki
Baba mwenye heri yeah
Heri na riziki
They try to put me down, but I still arise
They try to put me down
But I still arise
Baba wewe mwenye sifa
Baba wewe wa taifa
Nimekuwa mzaifu
Sijui vipi nikusifu
Baba aliye hai
Mweye nguvu
Ningekuwa wapi kabisa
Cini ya hii dunia singeweza
Baba mwenye njia
Uliye pokeya mweu
Mwenye ucafu
Ukanifanya mkamilifu
Popote pale nakutegemeya
sina sehemu nyengine ya kuegamia
Nani mwenye roho kama yako
Popote pale naona love yako
Wewe ndiye wakuabudiwa
Wewe ndiye wakuabudiwa