Dear God
YP
The easy, fast & fun way to learn how to sing: 30DaySinger.com
Nimezarauliwa Nikanyanyaswa Mwisho apo nikatupwa mimi Ndipo apo ukaniokota mimi Mimi mwenye roho mbaya Ya kila aina Ndipo apo umeniokoa Ukanileta katika uzuri wako Kila nacokifanya naamini roho yako Inaniongoza pale pote napokwenda Wengi wanakula time Istoshe wana eat nyama choma Wakati mimi niko kwenye kona Siamini yangu maco Kanisani wanajifanya kondoo Japo wa-wanafica makuca Hii kweli nomaa Wengi tunakwisha Apa na pale tunabaguwana Katika haya maisha Chanzo sisi kucukiana Kwanini tusiwe na umoja Kwakuwa Mungu ni umoja Tunapo pungukiwa Unatubariki Baba mwenye heri na riziki Baba mwenye heri yeah Heri na riziki They try to put me down, but I still arise They try to put me down But I still arise Baba wewe mwenye sifa Baba wewe wa taifa Nimekuwa mzaifu Sijui vipi nikusifu Baba aliye hai Mweye nguvu Ningekuwa wapi kabisa Cini ya hii dunia singeweza Baba mwenye njia Uliye pokeya mweu Mwenye ucafu Ukanifanya mkamilifu Popote pale nakutegemeya sina sehemu nyengine ya kuegamia Nani mwenye roho kama yako Popote pale naona love yako Wewe ndiye wakuabudiwa Wewe ndiye wakuabudiwa
Struggling with Dear God? Become a better singer in 30 days with these videos!
Citation
Use the citation below to add these lyrics to your bibliography:
Style:MLAChicagoAPA
"Dear God Lyrics." Lyrics.com. STANDS4 LLC, 2024. Web. 17 May 2024. <https://www.lyrics.com/lyric-lf/1645303/YP/Dear+God>.
Discuss the Dear God Lyrics with the community:
Report Comment
We're doing our best to make sure our content is useful, accurate and safe.
If by any chance you spot an inappropriate comment while navigating through our website please use this form to let us know, and we'll take care of it shortly.
Attachment
You need to be logged in to favorite.
Log In